Uganga wa Kitabu Vol. 2: Qur’anic Healing & Spiritual Protection

TZS12,500.00 TZS13,500.00Price range: TZS12,500.00 through TZS13,500.00

📖 Angalia Preview ya Kitabu

👉 Bonyeza hapa kuona preview

SKU: N/A Category:

Uganga wa Kitabu Vol. 2 ni mwendelezo wa mfumo wa Matibabu ya Kiroho unaolenga kuimarisha uelewa na matumizi ya Quran na Dua.

Katika kitabu hiki utajifunza:

• Mbinu zaidi za kutumia aya za Qur’an katika tiba ya kiroho
• Dua maalum za kuondoa athari nzito za uchawi na husuda
• Njia za kujilinda dhidi ya mashambulizi ya kiroho
• Kuimarisha imani na tawakkul kupitia adhkar na dua

Kitabu hiki kinaongeza maarifa kwa wale wanaotaka kujua tiba ya kiroho kwa kufuata njia sahihi ya Qur’an na Dua.

✔ Format: PDF & Printed
✔ Lugha: Kiswahili

Weight N/A
Format

PDF, Printed Book

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Uganga wa Kitabu Vol. 2: Qur’anic Healing & Spiritual Protection”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Shopping Cart
Select your currency
TZS Tanzanian Shillings
Scroll to Top